VITA VYA AL-FIJAR Wakati Mtume ﷺ alipofikisha umri wa miaka kumi na mitano vilitokea vita vya Al-Fijar kati ya Makuraishi na wale waliokuwa pamoja nao miongoni ... Read More
KIAPO CHA AL-FUDHUUL Baada ya vita hivi ulipatikana rmkataba wa AI-Fudhoul katika mwezi wa Dhul-Qaada (mfungo pili) wakati wa mwezi mtukufu. Katika mkataba huu yaliitana makabila ... Read More
KUCHUNGA MBUZI ﷺ Mtume ﷺ alikuwa hana kazi maalumu mwanzoni mwa ujana wake, isipokuwa imepokelewa kuwa alikuwa akichunga mbuzi kwa Banu Saad na mbuzi wengine wa watu wa ... Read More
SAFARI YA KWENDA SHAM KWA AJILI YA BIASHARA Alipofikisha umri wa miaka ishirini na tano, alitoka kuelekea Sham kwa madhumuni ya kufanya biashara katika mali ... Read More
KUMUOA BIBI KHADIJA Mtume ﷺ Aliporudi Makka Bi Khadija aliona mambo ambayo hajapata kuyaona kabla ya hapo, katika kuongezeka mali yake. Uaminifu wa Mtume na baraka zake ... Read More
KUJENGWA KWA AL-KA’AB ZAMA ZA MTUME ﷺ Baada ya muda wa miaka thalathini na tano tokea kuzaliwa kwa Mtume ﷺ, Makuraishi walisimama katika ujenzi wa Al-Ka’aba. ... Read More
TUMERIDHIKA NA AL-AMIIN Mzozo uliendelea kwa muda wa siku nne au tano hivi na ukazidi mpaka kufikia hatua ya kutaka kuzusha vita kubwa kabisa katika ... Read More
MAISHA YA MTUME MUHAMMAD ﷺ KABLA YAKUPEWA UTUME Mtume ﷺ wakati wa ujana wake alikuwa na tabia nzuri katika jamii. Alikuwa mtu wa kuigwa kwa fikra ... Read More
KATIKA PANGO LA HIRAA Wakati Mtume ﷺ alipofikisha umri wa miaka arobaini, alikuwa ni mmoja miongonimwa watu waliokomaa kiakili na kifikra kati ya jamaa zake, yeye ... Read More
KUPEWA UTUME NA KUSHUKA KWA WAHYI Mtume ﷺ alipotimiza umri wa miaka arobaini, ambayo ni kilele cha ukamilifu na ndio miaka ya kupelekwa Mitume, alama za ... Read More