Mlango wa kwanza unaambatana na bei (kuuza na kununuwa) na ndani yake yamo Masuala yafuatayo: Suala la Kwanza: Maana ya bei (kuuza na kununuwa) na hukumu ... Read More
Suala la pili: Nguzo za kuuza na kununuwa. Nguzo za kuuza na kununuwa ni tatu 1) Muuzaji na Mnunuzi 2) Bidhaa 3) Kauli kutoka kwa Muuzaji ... Read More
Suala la tatu: Ushahidi katika Kuuza na kununuwa Biashara. Inapendekeza katika uislamu kupatikane ushahidi katika kuuza na kununuwa wala si lazima, kwa mujibu wa neno lake ... Read More
Suala la nne: Uamuzi katika biashara. Uamuzi: Kwa kila muuzaji na mnunuzi ana haki ya kufunga mkataba wa Uuzaji au kuvunja huo mkataba. Mbali na hayo ... Read More
Vigawanyo vya uamuzi: Uamuzi una vigawanyo vifuatavyo: Mwanzo: Uamuzi wa mkao (majlis):Nayo ni sehemu ambayo Uuzaji inafanyika, hapa muuzaji na mnunuzi wana uamuzi wa kufanya ... Read More
SOMO LA FIQHI Suali: Ni nini Maana ya Twahara ki Lugha na Kisheria ? Jawabu: Utwahara kilugha Kujisafisha na kujitakasa na uchafu Utwahara kisheria Utwahara kutokana na ... Read More
SOMO LA FIQHI Kwanza: Maji Yenye kutwahirisha 1. Maji ya Kawaida: Nayo ni maji ambayo yamebaki katika sifa yaliyoumbiwa nayo, kama maji yanayoteremka kutoka mawinguni, ... Read More
SOMO LA FIQHI Suali: Ni nini Maana ya najisi kiluga na kisheria? Jawabu: Maana ya Najisi kilugha Uchafu Na kisheria: Ni Uchafu ambao Sheria imeamuru uondolewe Suali: Ni zipi Sampuli ... Read More
SOMO LA FIQHI Suali: Vipi hutahirishwa Ardhi iliyonasika ? Jawabu: Ardhi iliyonasika hutwahirishwa kwa kuiondoa ile najisi au kwa kwa kuimiminia Maji. Kama ilivyo kuja Katika hadithi ... Read More
SOMO LA FIQHI Mwenyezi Mungu Mtukufu ameifanya twahara kuwa ni sheria na kuwafaradhishia waja wake kwa sababu twahara humfanya muislamu aishi maisha ya unadhifu na ... Read More