0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

776. Riyadhu Swalihina Mlango Wa  Ubainifu Wa Kunywa Kwa Kusimama Na Kubainisa Kwamba Ukamilifu Na Ubora Zaidi Ni Kunya Kwa Kuketi.

باب جواز الشرب من جميع الأواني الطاهرة غير الذهب والفضة وجواز الكرع – وَهُوَ الشرب بالفم من النهر وغيره بغير إناء ولا يد – وتحريم استعمال إناء الذهب والفضة في الشرب والأكل والطهارة وسائر وجوه الاستعمال


وعن حذيفة – رضي الله عنه -، قَالَ: إنَّ النبيَّ – صلى الله عليه وسلم – نَهَانَا عَن الحَرِير، وَالدِّيباجِ، والشُّربِ في آنِيَة الذَّهَب والفِضَّةِ، وقال: { هي لَهُمْ في الدُّنْيَا، وهِيَ لَكُمْ في الآخِرَةِ}    متفقٌ عَلَيْهِ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa na Hudhaifah (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema: “Mtume ametukataza kutumia hariri nzito na nyepesi na kunywa katika chombo cha dhahabu na fedha, na akatwambia: “Hivyo ni vyao (makafiri) duniani, na ni vyenu Akhira.”   [ Wameafikiana Bukhari na Muslim.]


Begin typing your search above and press return to search.