0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

775. Riyadhu Swalihina Mlango Wa  Ubainifu Wa Kunywa Kwa Kusimama Na Kubainisa Kwamba Ukamilifu Na Ubora Zaidi Ni Kunya Kwa Kuketi.

باب جواز الشرب من جميع الأواني الطاهرة غير الذهب والفضة وجواز الكرع – وَهُوَ الشرب بالفم من النهر وغيره بغير إناء ولا يد – وتحريم استعمال إناء الذهب والفضة في الشرب والأكل والطهارة وسائر وجوه الاستعمال


وعن جابر – رضي الله عنه -: أنَّ رسول الله – صلى الله عليه وسلم – دَخَلَ عَلَى رَجُلٍ مِن الأَنْصَارِ، وَمَعَهُ صَاحِبٌ لَهُ، فَقَالَ رسول الله – صلى الله عليه وسلم -: { إنْ كَانَ عِنْدَكَ مَاءٌ باتَ هذِهِ اللَّيْلَةَ في شَنَّةٍ وَإلاَّ كَرَعْنَا }     رواه البخاري


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa na Jâbir (Radhi za Allah ziwe juu yake)  amesimulia kuwa Mtume aliingia kwa mtu mmoja katika Ansari, naye alikuwa yuko na Maswahaba wake, Mtume akamwambia: “Ikiwa una maji yaliolala usiku huu katika kiriba, tupe tunywe, na kama huna tutafyonza (katika mfereji wowote).”  [ Imepokewa na Bukhârî.]


Begin typing your search above and press return to search.