0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

777. Riyadhu Swalihina Mlango Wa  Ubainifu Wa Kunywa Kwa Kusimama Na Kubainisa Kwamba Ukamilifu Na Ubora Zaidi Ni Kunya Kwa Kuketi.

باب جواز الشرب من جميع الأواني الطاهرة غير الذهب والفضة وجواز الكرع – وَهُوَ الشرب بالفم من النهر وغيره بغير إناء ولا يد – وتحريم استعمال إناء الذهب والفضة في الشرب والأكل والطهارة وسائر وجوه الاستعمال


وعن أُمِّ سلمة – رضي الله عنها -: أنَّ رسول الله – صلى الله عليه وسلم – قَالَ: { الَّذِي يَشْرَبُ في آنِيَةِ الفِضَّةِ، إنَّمَا يُجَرْجِرُ في بَطْنِهِ نَارَ جَهَنَّمَ}    متفقٌ عَلَيْهِ

وفي رواية لمسلم: { إنَّ الَّذِي يَأكُلُ أَوْ يَشْرَبُ في آنِيَةِ الفِضَّةِ وَالذَّهَبِ}

وفي رواية لَهُ: { مَنْ شَرِبَ في إناءٍ مِنْ ذَهَبٍ أَوْ فِضَّةٍ، فَإنَّمَا يُجَرْجِرُ في بَطْنِهِ نَارَاً مِنْ جَهَنَّم}


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa na Ummu Salamah (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesimulia: “Mtume ﷺ amesema: “Anayekunywa katika chombo cha fedha, hakika anamimina tumboni mwake moto wa Jahannam!” [ [Wameafikiana Bukhari na Muslim].

Rwaya nyingine ya Muslim imesema: “Hakika yule anayekula au kunywa katika chombo cha fedha na dhahabu…”

Riwaya nyingine tena ya Muslim imesema: “Anayekunywa katika chombo cha dhahabu au fedha, ni hakika yuwamimina tumboni mwake moto wa Jahannam!”


Begin typing your search above and press return to search.