0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

770. Riyadhu Swalihina Mlango Wa  Ubainifu Wa Kunywa Kwa Kusimama Na Kubainisa Kwamba Ukamilifu Na Ubora Zaidi Ni Kunya Kwa Kuketi.

باب بيان جواز الشرب قائماً وبيان أنَّ الأكمل والأفضل الشرب قاعداً


وعن أنس – رضي الله عنه -، عن النبيِّ – صلى الله عليه وسلم -: أنه نَهى أن يَشْرَبَ الرَّجُلُ قَائِماً. قَالَ قتادة: فَقُلْنَا لأَنَسٍ: فالأَكْلُ؟ قَالَ: ذَلِكَ أَشَرُّ – أَوْ أخْبَثُ –      رواه مسلم

وفي رواية لَهُ: أنَّ النبيَّ – صلى الله عليه وسلم – زَجَرَ عَن الشُّرْب قائِماً


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى


Imepokewa na Anas, (Radhi za Allah ziwe juu yao) kutoka kwa Mtume ﷺ : Amemkataza mtu kunywa akiwa amesimama. Qatada akasema: Basi tukamwambia Anas: Vipi kuhusu kula? Akasema: Hayo ni maovu zaidi – au ni mabaya zaidi –  [ Imepokewa na Muslim.]

Katika riwaya yake: Kwamba Mtume-ﷺ- alikataza kunywa akiwa mtu amesimama.


Begin typing your search above and press return to search.