0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

264. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Ubora Wa Waislamu Wanyonge Hadithi 05

BUSTANI YA WATU WEMA

وعن أَبي هريرة – رضي الله عنه -، قَالَ: قَالَ رَسُول الله – صلى الله عليه وسلم -: {لَيْسَ المِسْكينُ الَّذِي تَرُدُّهُ التَّمْرَةُ وَالتَّمْرَتَانِ، وَلا اللُّقْمَةُ وَاللُّقْمَتَانِ إِنَّمَا المِسكِينُ الَّذِي يَتَعَفَّفُ}    مُتَّفَقٌ عَلَيهِ

وفي رواية في الصحيحين: {لَيْسَ المِسكِينُ الَّذِي يَطُوفُ عَلَى النَّاسِ تَرُدُّهُ اللُّقْمَةُ واللُّقْمَتانِ، وَالتَّمْرَةُ والتَّمْرَتَانِ، وَلَكِنَّ المِسْكِينَ الَّذِي لاَ يَجِدُ غنىً يُغْنِيه، وَلاَ يُفْطَنُ بِهِ فَيُتَصَدَّقَ عَلَيهِ، وَلاَ يَقُومُ فَيَسْأَلُ النَّاسَ}

شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى

Imepokewa kutoka Abû Huraira Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Amesema “Mtume : [Masikni si yule anaepewa tende moja au mbili, wala anaepewa tonge moja au mawili, lakini masikini ni yule asiyeomba watu (pamoja kuwa ana haja]    Muttafaq

Riwaya nyingine ya Sahîh al-Bukhâry na Sahîh Muslim imesema: [Masikini si yule anaewazungukia watu akapewa tonge moja au mbili na tende moja au mbili, lakini masikini ni yule asiepata cha kumtosheleza wala hajulikani ili akapewa sadaka na wala haombi watu.]

 

Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.