0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

263. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Ubora Wa Waislamu Wanyonge Hadithi 04

BUSTANI YA WATU WEMA


وعن أَبي هريرة – رضي الله عنه -، قَالَ: قَالَ رَسُول الله – صلى الله عليه وسلم -: {كَافلُ اليَتيِم لَهُ أَوْ لِغَيْرِهِ أَنَا وَهُوَ كَهَاتَيْنِ في الجَنَّةِ} وَأَشَارَ الرَّ‌اوِي وَهُوَ مَالِكُ بْنُ أنَس بالسَّبَّابَةِ وَالوُسْطَى.    رواه مسلم

وقوله – صلى الله عليه وسلم -: {اليَتِيمُ لَهُ أَوْ لِغَيرِهِ} مَعْنَاهُ: قَريبُهُ، أَو الأجْنَبيُّ مِنْهُ، فالقَريبُ مِثلُ أنْ تَكْفَلهُ أمُّهُ أَوْ جَدُّهُ أَوْ أخُوهُ أَوْ غَيرُهُمْ مِنْ قَرَابَتِهِ، والله أعْلَمُ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى


Imepokewa kutoka Abû Huraira Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Amesema “Mtume ﷺ : [Mwenye kumsimamia yatima awe ni wake au wa mwengine mimi na yeye ni kama hivi Peponi.] Mpokezi wa Hadîth hii ambaye ni Mâlik bin Anas akaashiria kwa kidole cha shahada na cha kati.  [Imepokewa na Muslim.]


Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.