0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

098. Riyadhu Swalihina Mlango wa Mujahada Hadithi ya 04


BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


: عن عائشة رضي اللَّه عنها أَنَّ النَّبِيَّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم كَان يقُومُ مِنَ اللَّيْلِ حتَّى تتَفطَرَ قَدمَاهُ، فَقُلْتُ لَهُ، لِمْ تصنعُ هذا يا رسولَ اللَّهِ، وقدْ غفَرَ اللَّه لَكَ مَا تقدَّمَ مِنْ ذَنبِكَ وما تأخَّرَ؟ قال: «أَفَلاَ أُحِبُّ أَنْ أكُونَ عبْداً شكُوراً؟»    متفقٌ عليه

هذا لفظ البخاري، ونحوه في الصحيحين من رواية المُغيرة بن شُعْبَةَ


Kutoka kwa ‘Aisha Radhi za Allah ziwe juu yake : Kwamba Mtume ﷺ alikuwa akisimama usiku (kuswali) mpaka miguu yake ikivimba. Nikamuuliza: mbona unafanya hivi Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu na hali ya kuwa Mwenyezi Mungu Ameshakusamehe dhambi zako zilizotangulia na zitakazokuja? Akajibu: [Kwani sipendelei niwe ni mja mwenye kushukuru?]     [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.