0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

032. Riyadhu Swalihina Mlango wa Subira Hadithi ya 08


BUSTANI YA WATU WEMA


وَعَنْ أبي هَرَيرَةَ رَضي اللَّه عنه أَنَّ رَسُولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قالَ : « يَقولُ اللَّهُ تَعَالَى: مَا لِعَبْدِي المُؤْمِنِ عِنْدِي جَزَاءٌ إِذَا قَبضْتُ صَفِيَّهُ مِنْ أَهْلِ الدُّنْيَا ثُمَّ احْتَسَبهُ إِلاَّ الجَنَّة »       رواه البخاري


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Abuu Hurayrah Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu [Mwenyezi Mungu  Anasema: Mja wangu Muumin hana jaza nitakapomchukua mpenzi wake katika watu wa dunia kisha akataraji thawabu isipokuwa jazaa yake ni Pepo.]      [Imepokewa na Bukhari]


Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.