0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

NI HARAMU KUTUMIA MAJI YALIOSOMEWA KUJITWAHIRISHA ?

NI HARAMU KUTUMIA MAJI YALIOSOMEWA KUJITWAHIRISHA ?

Swali: Je yafaa kutumia maji yaliosomewa na maji ya kawaida katika kujitwahirisha?

Jawabu: Hakuna ubaya wa kutumia maji yalio changanywa katika kujitwahrisha au kutumia sampuli yoyote ile,si dhambi wala mtu hadhuriki kama watu wengi wanavyo dhania.

Na Allah ndie mjuzi zaidi

Chanzo: Islamweb.com

Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.