0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

MAMBO YANAYOHARIBU SWALA

SOMO LA FIQHI

1. Kufanya jambo linalo pingana na sharti miongoni mwa sharti za swala kama kufanya jambo lenye kutenguwa twahara, au kukusudia kufunguwa uchi, au Kuzunguka upande wakibla, kwa mwili wake, au kuvunja nia

2. Kukusudia kuacha nguzo au wajibu wa swala.

3. Kujishughulisha na vitendo vingi kwa kitendo nje ya swala bila ya dharura kama kutembea na haraka nyingi

4. Kucheka na kujikohoza

5. Kuzungumza ndani ya Swala kwa kusudi

6. Kula na kunywa kwa kusudi.

7. Kuzidisha Rakaa au Nguzo kusudi

8. Maamuma kutoa salamu kabla ya imamu wake


Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.