0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

623. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Tabia Njema.

باب حسن الخلق


وعن النَّوَاس بنِ سمعان – رضي الله عنه -، قَالَ: سألتُ رسولَ الله – صلى الله عليه وسلم – عن البِرِّ وَالإثم، فَقَالَ: { البِرُّ: حُسنُ الخُلقِ، والإثمُ: مَا حاك في صدرِك، وكَرِهْتَ أن يَطَّلِعَ عَلَيْهِ النَّاسُ}      رواه مسلم


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa An-Nawwâs bin Sam‘ân (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesimulia: “Nilimwuliza Mtume kuhusu wema na dhambi, akasema: “Wema ni tabia njema, na dhambi ni inayotia shaka katika nafsi yako na ukachukia watu wasije wakaijua.”    [ Imepokewa na Muslim ]


Begin typing your search above and press return to search.