0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

57 DUA YA MAITI YA MTOTO MCHANGA WAKATI WA KUMSWALIA

KINGA YA MUISLAMU


[اللهم أعذه من عذاب القبر]

أخرجه مالك في الموطأ 1/288 وابن أبي شيبه في المصنف 3/ 217 والبيهقي 4/9

[Ewe Mwenyezi Mungu  mlinde na adhabu ya kaburi]        [Imepokewa na Imam Maalik na Ibnu Abiy Shayba na Al-Bayhaqiy.]

اللهم اجعله فرطاً وذخراً لوالديه ،وشفيعاً مجاباً .اللهم ثقل به موازينها وأعظم به أجورهما ، وألحقهُ بصالح المؤمنين ، واجعلهُ في كفالة إبراهيم ، وقه برحمتك عذاب الجحيم ، وأبدله داراً خيراً من داره ، وأهلاً خيراً من أهله ، اللهم اغفر لاسلافنا ، وأفراطنا ، ومن سبقنا بالإيمان

[Ewe Mwenyezi Mungu mjaaliye kuwa nikitangulizi na akiba kwa wazazi wake na nikiombezi chenye  kukubaliwa dua yake.  Ewe Mwenyezi Mungu kwa ajili yake zifanye nzito mizani za wazazi wake na yafanye mengi malipo yao, na mkutanishe na wema wa waumini na mjaaliye awekatika dhamana ya Ibrahim na umuepushe kwa rehema yako na adhabu ya moto, na mbadlishie nyumba bora kuliko nyumba yake, na jamaa bora kulko jamaa zake.  Ewe Mwenyezi Mungu, wasamehe waliotangulia na waliopita na waliotutangulia katika Uislamu.]

Alikuwa Al-Hassan Radhi za Allah ziwe juu yake  anamsomea mtoto mdogo Suratul Fatiha kisha anasema:

اللهم اجعله لنا فرطاً ،وسلفاً وأجراً

[Ewe Mwenyezi Mungu mfanye kwetu sisi ni kitangulizi  cha malipo na dhamana na  malipo.]    [Imepokewa na Al-Baghawiy na Abdulrazaaq.]


DUA YA MAITI YA MTOTO MCHANGA WAKATI WA KUMSWALIA


Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.