0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

330. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Kuwafanyia Wema Wazazi Na Kuunga Kizazi (Undugu) 20

باب بر الوالدين وصلة الأرحام


وعن أَبي عبد الله عمرو بن العاص – رضي الله عنهما -، قَالَ: سمعت رَسُول الله – صلى الله عليه وسلم – جِهَاراً غَيْرَ سِرٍّ، يَقُولُ: {إنَّ آل بَني فُلاَن لَيْسُوا بِأولِيَائِي، إِنَّمَا وَلِيِّيَ اللهُ وَصَالِحُ المُؤْمِنينَ، وَلَكِنْ لَهُمْ رَحِمٌ أبُلُّهَا بِبلاَلِهَا}   مُتَّفَقٌ عَلَيهِ، واللفظ للبخاري


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa Abdullâh bin ‘Amri bin al-‘Âs Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: “Nilimsikia Mtume akisema waziwazi bila kuficha: [Hakika jamaa ya Banî fulani si rafiki zangu. Hakika rafiki yangu ni Allâh na walio wema katika Waumini. Lakini wao wana kizazi (undugu/uhusiano), nitauunga.]   [ Wameafikiana Bukhari na Muslim na hii ni kwa ladhi ya Bukhari]


Begin typing your search above and press return to search.