0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

226. Riyadhu Swalihina Mlango wa Kuadhimisha mambo Matukufu ya Uislamu na … Hadithi 05


BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن عائشةَ رضي اللَّه عنها قالت : قدِم ناسٌ مِن الأَعْرابِ عَلَى رسول اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم، فقالوا : أَتُقبِّلونَ صِبيْانَكُمْ ؟ فقال : « نَعَمْ » قالوا : لَكِنَّا واللَّه ما نُقَبِّلُ ، فقال رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « أَوَ أَمْلِكُ إِنْ كَانَ اللَّه نَزعَ مِنْ قُلُوبِكُمْ الرَّحمَةَ»    متفقٌ عليه


Kutoka kwa ‘Aisha (Radhi za Allah ziwe juu yako) aliyesema: walikuja Mabedui kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ, wakasema: “Je, mnawabusu watoto wenu?” Akasema: [Ndio.] Wakasema: “Lakini sisi Wa-Allaahi hatuwabusu.” Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ akasema: [Je, naweza kumiliki ikiwa Mwenyezi Mungu Ameondosha huruma katika nyoyoni mwenu .]      [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.