0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

214. Riyadhu Swalihina Mlango wa Uharamu wa kudhulumu na Amri ya kurudisha Vilivyodhulumiwa Hadithi 12


BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي أُمَامةَ إِيَاسِ بنِ ثعْلَبَةَ الْحَارِثِيِّ رضي اللَّه عنه أَن رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال: « مَنِ اقْتَطَعَ حَقَّ امْريءٍ مُسْلمٍ بيَمِينِهِ فَقدْ أَوْجَبَ اللَّه لَه النَّارَ ، وَحَرَّمَ عَلَيْهِ الْجَنَّةَ » فقال رجُلٌ : وإِنْ كَانَ شَيْئاً يسِيراً يا رسولَ اللَّه ؟ فقال : « وإِنْ قَضِيباً مِنْ أَرَاكٍ »  رواه مسلم


Kutoka kwa Abuu Umaamah Iyaas bin Tha’labah Al-Haarithiy Radhi za Allah ziwe juu yake  kwamba Mtume amesema: [Mwenye kuchukua haki ya mtu Muislamu kwa kuapa kiapo cha urongo imewajibika kwa Mwenyezi Mungu kumuingiza motoni na kumharamishia Pepo.] Mtu mmoja akasema: “Hata kikiwa kitu kidogo Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu? Akasema: [Hata kikiwa ni kipande cha Msuwaki.]    [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.