0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

211. Riyadhu Swalihina Mlango wa Uharamu wa kudhulumu na Amri ya kurudisha Vilivyodhulumiwa Hadithi 09


BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن عبد اللَّه بن عَمْرو بن الْعاص رضي اللَّه عنهما عن النَّبِيِّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : «الْمُسْلِمُ مَنْ سَلِمَ الْمُسْلِمُونَ مِنْ لِسانِهِ ويَدِهِ ، والْمُهَاجِرُ مَنْ هَجَرَ ما نَهَى اللَّه عَنْهُ »    متفق عليه


Kutoka kwa AbduLLaah bin ‘Amru bin Al-‘Aasw Radhi za Allah ziwe juu yao kuwa Mtume ﷺ amesema: [Muislamu ni yule ambaye Waislaam wamesalimika kutokana na ulimi wake na mkono wake, na Muhajir (mwenye kuhama) ni yule anayehama yale aliyoyakataza Mwenyezi Mungu.]     [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.