0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

191. Riyadhu Swalihina Mlango wa Kuamrisha Mema na kukanya Mabaya Hadithi 08


BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن ابن عباس رضي اللَّه عنهما أَن رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم رأى خَاتماً مِنْ ذَهَبٍ في يَد رَجُلٍ ، فَنَزعَهُ فطَرحَهُ وقَال : « يَعْمَدُ أَحَدُكُمْ إِلَى جَمْرَةٍ مِنْ نَارٍ فَيجْعلهَا في يَدِهِ ، » فَقِيل لِلرَّجُل بَعْدَ مَا ذَهَبَ رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : خُذْ خَاتمَكَ ، انتَفعْ بِهِ . قَالَ : لا واللَّه لا آخُذُهُ أَبَداً وقَدْ طَرحهُ رسول اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم .    رواه مسلم


Kutoka kwa Ibn ‘Abbas Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba: Mtume aliona pete ya Dhahabu katika kidole cha mtu. Akamtoa (katika kidole chake) na kuitupa. Kisha Akasema: [Anakusudia Mmoja kuliweka kaa la moto katika mkono wake!(kidole chake)] Akaambiwa yule mtu baada ya kuondoka Mtume ﷺ. Ichukue pete yako na ufaidike nayo. Akasema: Hapana! Naapa kwa Jina la Mwenyezi Mungu, siichukui kabisa baada ya kutupwa na Mtume.    [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.