0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

179. Riyadhu Swalihina Mlango wa Kusaidiana katika Wema na Uchamunga Hadithi 03


BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن ابنِ عباسٍ رضي اللَّه عنهما أَنَّ رسُولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم لَقِيَ ركْباً بالرَّوْحَاءِ فقال: «مَنِ الْقوْمُ ؟ » قالُوا : المُسْلِمُونَ ، فَقَالُوا : مَنْ أَنْتَ ؟ قال : «رسولُ اللَّه» فَرَفَعَتْ إِلَيْهِ امْرَأَةٌ صَبِيًّا فَقَالَتْ : أَلَهَذَا حَجٌّ ؟ قال : « نَعمْ وَلَكِ أَجْرٌ »     رواه مسلم


Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas Radhi za Allah ziwe juu yake kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alikutana na Msafara fulani kutoka (sehemu inaoitwa) Rawhaa (karibu na Madina)  akawauliza: [Ni watu gani Hawa ?]  Wakasema: “Ni Waislamu.” na wao wakamuliza: “Wewe ni nani?”  Akasema: [Mtume wa Mwenyezi Mungu.] Mwanamke mmoja (aliyekwepo) alimnyanyua mtoto mdogo na kuuliza: “Je,huyu ana hijja?”  Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ akamjibu : [Ndio, na wewe una ujira (kwa hilo).]    [Imepokewa na Muslim ]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.