0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

053. Riyadhu Swalihina Mlango wa Subira Hadithi ya 29


BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وَعنْ أبي إِبْراهيمَ عَبْدِ اللَّه بْنِ أبي أَوْفي رضي اللَّهُ عنهمَا أَنَّ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم في بعْضِ أَيَّامِهِ التي لَقِيَ فِيهَا الْعَدُوَّ ، انْتَظرَ حَتَّى إِذَا مَالَتِ الشَّمْسُ قَامَ فِيهمْ فَقَالَ: « يَا أَيُّهَا النَّاسُ لا تَتَمنَّوا لِقَاءَ الْعدُوِّ ، وَاسْأَلُوا اللَّه العَافِيَةَ ، فَإِذَا لقيتُموهم فاصْبرُوا ، وَاعْلَمُوا أَنَّ الْجَنَّة تَحْتَ ظِلاَلِ السُّيُوفِ » ثُمَّ قَالَ النَّبِيُّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « اللَّهُمَّ مُنْزِلَ الْكِتَابِ وَمُجْرِيَ السَّحَابِ ، وَهَازِمَ الأَحْزابِ ، اهْزِمْهُمْ وَانْصُرْنا عَلَيْهِمْ »  متفقٌ عليه  


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى





Kutoka kwa Abuu Ibraahiym ‘Abdillaah bin Abiy Awfa Radhi za Allah ziwe juu yao  kwamba Mtume katika baadhi ya siku alizokutana na adui, alingoja hadi jua lilipopinduka, akasimama na akawaeleza: [Enyi watu, msitamani kukutana na adui, muombeni Mwenyezi Mungu afia (salama), na mtakapo kutana nao, subirini, na fahamuni kuwa Pepo iko chini ya vivuli vya panga.] Halafu Mtume  akaomba: [Ewe Mola Mteremsha Kitabu, Mwenye kuendesha mawingu, Mwenye kuyashinda makundi, Washinde na Utunusuru.]            [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.