0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

Sahih Al-Bukhari Mlango Wa Mambo ya Imani


صحيح البخاري


كِتَابُ الإِيمَانِ

«بَابُ أُمُورِ الإِيمَانِ

وَقَوْلِ اللَّهِ تَعَالَى: {لَيْسَ البِرَّ أَنْ تُوَلُّوا وُجُوهَكُمْ قِبَلَ المَشْرِقِ وَالمَغْرِبِ، وَلَكِنَّ البِرَّ مَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَاليَوْمِ الآخِرِ وَالمَلاَئِكَةِ وَالكِتَابِ وَالنَّبِيِّينَ وَآتَى المَالَ عَلَى حُبِّهِ ذَوِي القُرْبَى وَاليَتَامَى وَالمَسَاكِينَ وَابْنَ السَّبِيلِ، وَالسَّائِلِينَ وَفِي الرِّقَابِ، وَأَقَامَ الصَّلاَةَ، وَآتَى الزَّكَاةَ، وَالمُوفُونَ بِعَهْدِهِمْ إِذَا عَاهَدُوا، وَالصَّابِرِينَ فِي البَأْسَاءِ وَالضَّرَّاءِ وَحِينَ البَأْسِ أُولَئِكَ الَّذِينَ صَدَقُوا وَأُولَئِكَ هُمُ المُتَّقُونَ} [البقرة: 177] وَقَوْلِهِ: {قَدْ أَفْلَحَ المُؤْمِنُونَ} [المؤمنون: 1] الآيَةَ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ مُحَمّد بن صَالِح العُثَيْمِين رحمه الله تعالى



Sahih Al-Bukhari


MLANGO WA MAMBO YA IMANI


Kauli yake Mwenyezi Mungu Inayosema: [Sio wema kuwa mnaelekeza nyuso zenu upande wa mashariki na magharibi. Bali wema ni wa anayemuamini Allâh, Siku ya Mwisho, Malaika, Kitabu na Manabii, na anawapa mali, kwa kupenda kwake, jamaa, mayatima, masikini, wasafiri, waombao na katika ugombozi, na akawa anashika Swala, na akatoa Zaka, na wanaotimiza ahadi yao wanapoahidi, na wanaovumilia katika shida na dhara na wakati wa vita; hao ndio waliosadikisha, na hao ndio wajilindao.] [2: 177]. Kauli Yake Allâh: [Hakika wamefanikiwa Waumini.] [23: 1].


Begin typing your search above and press return to search.