0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

MSINGI WA PILI: KUIJUA DINI YA KIISLAMU KWA DALILI NA DARAJA ZAKE

الأصول الثلاثة


الأَصْلُ الثَّانِي: مَعْرِفَةُ دِينِ الإِسْلامِ بِالأَدِلَّةِ

وَهُوَ :الاسْتِسْلامُ للهِ بِالتَّوْحِيدِ، وَالانْقِيَادُ لَهُ بِالطَّاعَةِ، وَالْبَرَاءَةُ مِنَ الشِّرْكِ وَأَهْلِهِ، وَهُوَ ثَلاثُ مَرَاتِبَ: الإسْلامُ، وَالإِيمَانُ، وَالإِحْسَانُ. وَكُلُّ مَرْتَبَةٍ لَهَا أَرْكَانٌ

Msingi Wa Pili: Kuijua Dini Ya Kiislamu Kwa Dalili

Nayo ni kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu kwa Kumpwekesha, na kunyenyekea katika utiifu, na kujiweka mbali na shirki pamoja na watu wake (washirikina), nao (huo Msingi wa pili) umegawanyika katika daraja tatu; Uislamu, Imani, Ihsaan. Na kila daraja ina nguzo.

Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.