June 25, 2025
0 Comments
كتَاب الفَضَائِل
١٨٠- باب فضل قراءة القرآن
عن أَبي أُمامَةَ رضي اللَّه عنهُ قَالَ: سمِعتُ رسولَ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يقولُ: “اقْرَؤُا القُرْآنَ فإِنَّهُ يَأْتي يَوْم القيامةِ شَفِيعاً لأصْحابِهِ” رواه مسلم
شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى
KITABU: NIDHAMU ZA SAFARI
180 – MLANGO: FADHILA ZA KUSOMA QUR’ÂNI
Imepokewa kutoka kwa Abû Umâmah ( Radhi za Allah ziwe juu yake ) amesema: “Nilimsikia Mtume ﷺ akisema: “Someni Qur’âni, hakika (hiyo Qur’âni) itakuja – Siku ya Qiyama – hali ya kuwaombea watu wake.” [ Imepokewa na Muslim. ]