0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

839. Riyadhu Swalihina Mlango Wa ndoto na yanayofungamana nayo

باب الرؤيا وَمَا يتعلق بها


وعن أبي هريرةَ رضي الله عنه أنَّ النبيَّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قَالَ: “إذَا اقتَربَ الزَّمَانُ لَمْ تَكَدْ رُؤْيَا الُمؤْمن تَكذبُ، وَرُؤْيَا المُؤْمِنِ جُزْءٌ منْ ستَّةٍ وَأرْبَعيَنَ جُزْءًا مِنَ النُبُوةِ ”     متفقٌ عَلَيْهِ. وفي رواية: “أصْدَقُكُم رُؤْيَا: أصْدُقكُم حَديثاً“.


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



130. MLANGO WA NDOTO NA YANAYOFUNGAMANA NAYO


Imepokewa na Abû Huraira (Radhi za Allah ziwe juu yake) amepokea kutoka kwa Mtume ﷺ amesema: “Itakapokaribia mwisho wa zama, ndoto ya Mwumini haitakaribia kusema uwongo. Ndoto ya Mwumini ni sehemu katika sehemu arubaini na sita za Utume.”     [ Wameafikiana Bukhari na Muslim ].

Riwaya nyingine imesema: “Mwenye ndoto ya kweli miongoni mwenu ni yule mwenye mazungumzo ya kweli.”


Begin typing your search above and press return to search.