0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

597. Riyadhu Swalihina Mlango wa Yanayopendekezwa Kwa Kuwa Pweke Zama Za Watu Wakiharibika Au Kuchelea Fitna….

 باب استحباب العزلة عند فساد الناس والزمان أَو الخوف من فتنة في الدين ووقوع في حرام وشبهات ونحوها


وعن أَبي سعيد الخدري – رضي الله عنه -، قَالَ: قَالَ رَجُلٌ: أيُّ النَّاسِ أفْضَلُ يَا رسولَ الله؟ قَالَ: { مُؤْمِنٌ مُجَاهِدٌ بِنَفْسِهِ وَمَالِهِ في سَبيلِ اللهِ} قَالَ: ثُمَّ مَنْ؟ قَالَ: { ثُمَّ رَجُلٌ مُعْتَزِلٌ فِي شِعْبٍ مِنَ الشِّعَابِ يَعْبُدُ رَبَّهُ}

وفي رواية: { يَتَّقِي اللهَ، وَيَدَعُ النَّاسَ مِنْ شَرِّهِ}      متفقٌ عَلَيْهِ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى


Imepokewa kutoka kwa Abû Sa‘îd al-Khudry (Radhi za Allah ziwe juu yake) amehadithia: “Mtu mmoja aliuliza: “Yâ Rasûlallâh, mtu yupi ni bora?” Akamjibu: “Mwumini mpiganaji Jihadi kwa nafsi yake na mali yake katika Njia ya Allâh.” Akauliza: “Kisha ni yupi?” Akamjibu: “Kisha ni mtu aliejitenga katika bonde miongoni mwa mabonde akimwabudu Mola wake.”

Riwaya nyingine imesema: “..anamcha Allâh na anawaepushia watu shari yake.”    [ Wameafikiana Bukhari na Muslim.]


Begin typing your search above and press return to search.