0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

565. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Kumtanguliza Mwenzio Na Kufarijian.

باب الإيثار والمواساة


وعن أَبي سعيد الخدري – رضي الله عنه -، قَالَ: بَيْنَمَا نَحْنُ فِي سَفَرٍ مَعَ النَّبيِّ – صلى الله عليه وسلم – إذْ جَاءَ رَجُلٌ عَلَى رَاحِلَةٍ لَهُ، فَجَعَلَ يَصرِفُ بَصَرَهُ يَميناً وَشِمَالاً، فَقَالَ رسول الله – صلى الله عليه وسلم -: { مَنْ كَانَ مَعَهُ فَضْلُ ظَهْرٍ فَليَعُدْ بِهِ عَلَى مَنْ لا ظَهرَ لَهُ، وَمَنْ كَانَ لَهُ فَضْلٌ مِنْ زَادٍ، فَلْيَعُدْ بِهِ عَلَى مَنْ لا زَادَ لَهُ} فَذَكَرَ مِنْ أصْنَافِ المالِ مَا ذكر حَتَّى رَأيْنَا أنَّهُ لاَ حَقَّ لأحَدٍ مِنَّا في فَضْلٍ.      رواه مسلم


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa Abû Sa‘îd al-Khudry (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesimulia: “Tulipokuwa safarini pamoja na Mtume ﷺ , mara akaja mtu aliepanda mnyama wake, akawa anatazama kulia na kushoto. Mtume ﷺ  akasema: “Mwenye mnyama wa ziada ampe sadaka asiye na mnyama, na mwenye akiba ya ziada, ampe asie na akiba.” Akataja aina kadhaa za mali kiasi aliyotaja mpaka tukaona kuwa hakuna haki kwa yeyote miongoni mwetu kubaki na ziada ya kitu.”   [ Imepokewa na Muslim.]

Begin typing your search above and press return to search.