0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

492. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Fadhila Ya Njaa, Maisha Ya Chini Kutosheka Kwa Vichache Katika Vyakula…..

 باب فضل الجوع وخشونة العيش والاقتصار عَلَى القليل من المأكول والمشروب والملبوس وغيرها من حظوظ النفس وترك الشهوات


وعن أَبي سعيد المقبُريِّ، عن أَبي هريرة – رضي الله عنه -: أَنَّهُ مَرَّ بِقَومٍ بَيْنَ أيدِيهمْ شَاةٌ مَصْلِيَّةٌ، فَدَعَوْهُ فَأبَى أنْ يأْكُلَ. وقال: خرج رسول الله – صلى الله عليه وسلم – مِنَ الدُّنْيَا وَلَمْ يَشْبَعْ مِنْ خُبْزِ الشَّعيرِ.       رواه البخاري

{مَصْلِيَّةٌ} بفتح الميم: أيْ مَشْوِيَّةٌ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa Abû Sa‘îd al-Maqbury amesimulia: “Abû Huraira (Radhi za Allah ziwe juu yake) aliwapitia watu waliokuwa wana mbuzi wa kuchoma. Wakamkaribisha, akakataa kula na akasema: “Mtume ﷺ aliondoka duniani ilihali hakushiba mkate wa shayiri.”  [ Imepokewa na Bukhari.]


Begin typing your search above and press return to search.