0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

399. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Kumuogopa Mwenyezi Mungu

 باب الخوف


وعن سمرة بن جندب – رضي الله عنه -: أنَّ نبيَّ الله – صلى الله عليه وسلم -، قَالَ: {مِنْهُمْ مَنْ تَأخُذُهُ النَّارُ إِلَى كَعْبَيهِ، وَمنْهُمْ مَنْ تَأخُذُهُ إِلَى رُكْبَتَيهِ، وَمنْهُمْ مَنْ تَأخُذُهُ إِلَى حُجزَتِهِ، وَمِنْهُمْ مَنْ تَأخُذُهُ إِلَى تَرْقُوَتِهِ}   رواه مسلم

{الحُجْزَةُ}: مَعْقِدُ الإزار تَحْتَ السُّرَّةِ، وَ{التَّرْقُوَةُ} بفتح التاءِ وضم القاف: هي العَظمُ الَّذِي عِنْدَ ثَغْرَةِ النَّحْرِ، وَللإنْسَانِ تَرْقُوتَانِ في جَانبَي النَّحْرِ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa Samura bin Jundub (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesimulia: “Mtume  ﷺ amesema: [ Miongoni mwao (watu wa motoni) kuna atakayefikiwa na moto hadi kwenye vifundo vyake vya miguuni, kuna atakayefikiwa na moto hadi magotini mwake, muna atakayefikiwa na moto hadi kiunoni mwake na muna atakayefikiwa na moto hadi katika mtulinga wake.”]  [ Imepokewa na Muslim. ]


Begin typing your search above and press return to search.