١٨٠- باب فضل قراءة القرآن
وعن ابن مسعودٍ رضيَ اللَّه عنهُ قالَ: قالَ رسولُ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم: “منْ قرأَ حرْفاً مِنْ كِتَابِ اللَّهِ فلَهُ حسنَةٌ، والحسنَةُ بِعشرِ أَمثَالِهَا لاَ أَقول: ألم حَرفٌ، وَلكِن: أَلِفٌ حرْفٌ، ولامٌ حرْفٌ، ومِيَمٌ حرْفٌ” رواه الترمذي وقال: حديث حسن صحيح
شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى
180 – MLANGO: FADHILA ZA KUSOMA QUR’ÂNI
Imepokewa kutoka kwa ‘Abdullâh bin Mas‘ûd ( Radhi za Allah ziwe juu yake ) amesema: “Mtume ﷺ amesema: “Anayesoma herufi moja katika Kitabu cha Allâh ana jema moja, na jema moja ni kwa kumi mfano wake. Sisemi: Alif Lâm Mîm kuwa ni herufi (moja). Lakini Alif ni herufi, Lâm ni herufi na Mîm ni herufi.” [ Imepokewa na Tirmidhy, na amesema: Hadîth hii ni Hasan Sahîh.]