0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

76. MLANGO WA KUVUMILIA UDHIA.

باب احتمال الأذى


قَالَ الله تَعَالَى: ﴿وَالْكَاظِمِينَ الغَيْظَ والْعَافِينَ عَنِ النَّاسِ واللهُ يُحِبُّ المُحْسِنِينَ﴾ [ آل عمران: 134 ]

وقال تَعَالَى: ﴿وَلَمَن صَبَرَ وَغَفَرَ إنَّ ذَلِكَ لَمِنْ عَزْمِ الأُمُورِ﴾ [ الشورى: 43 ]

وفي الباب: الأحاديث السابقة في الباب قبله


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



75. MLANGO WA KUSAMEHE NA KUWAEPUKA MAJAHILI.


Mwenyezi Mungu Amesema: “Na wasamehevu kwa watu, na Allâh Huwapenda wafanyao mema.” [3:134].

Mwenyezi Mungu Amesema:“..na anayesubiri na kusamehe (atalipwa wema wake). Bila shaka hilo ni katika mambo makubwa ya kuazimiwa kufanywa (na kila Muislamu).” [42:43].

Na katika Mlango huu muna Hadîth zilzotangulia katika mlango uliotangulia.


Begin typing your search above and press return to search.