0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

666. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Wajibu Wa Kuwatii Wenye Madaraka Katika Jambo Ambalo Si La Kumuasi Allah Na Uharamu Wa Kuwatii Katika Maasia

 باب وجوب طاعة ولاة الأمر في غير معصية وتحريم طاعتهم في المعصية


وعن أَبي هريرة – رضي الله عنه -، قَالَ: قَالَ رسول الله – صلى الله عليه وسلم -: { عَلَيْكَ السَّمْعُ وَالطَّاعَةُ في عُسْرِكَ وَيُسْرِكَ، وَمَنْشَطِكَ وَمَكْرَهِكَ، وَأثَرَةٍ عَلَيْكَ}    رواه مسلم


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa Abû Huraira (Radhi za Allah ziwe juu yake ) amesema: “Mtume  (ﷺ) amesema: “Inakulazimu kusikiliza na kutii katika uzito wako na wepesi wako, kupenda kwako na kuchukia kwako na katika hali ambayo mtu mwingine hufadhilishwa kuliko wewe.”     [Imepokewa na Muslim.]

Begin typing your search above and press return to search.