0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

659. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Mtawala Muadilifu

باب الوالي العادل


 وعن عبدِ اللهِ بن عَمرو بن العاص – رضي الله عنهما -، قَالَ: قَالَ رسولُ الله – صلى الله عليه وسلم -: { إنَّ المُقْسِطِينَ عِنْدَ اللهِ عَلَى مَنَابِرَ مِنْ نُورٍ: الَّذِينَ يَعْدِلُونَ في حُكْمِهِمْ وأَهْلِيْهِم وَمَا وَلُوْا}      رواه مسلم


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa ‘Abdullâh bin ‘Amri bin al-‘Âs (Radhi za Allah ziwe juu yao ) amesema: “Mtume (ﷺ)  amesema: “Hakika waadilifu, watakuwa kwa Allâh juu ya mimbari za nuru, ambao wanafanya uadilifu katika hukumu zao, jamaa zao na yalio chini ya mamlaka yao.”    [ Imepokewa na Muslim.]


Begin typing your search above and press return to search.