0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

613. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Uharamu Wa Kibri Na Majivuno.

 باب تحريم الكبر والإعجاب


وعن حارثة بن وهْبٍ – رضي الله عنه -، قَالَ: سَمِعْتُ رسول الله – صلى الله عليه وسلم -، يقول: { ألا أُخْبِرُكُمْ بأهْلِ النَّار: كلُّ عُتُلٍ جَوّاظٍ مُسْتَكْبرٍ}   متفقٌ عَلَيْهِ،

وتقدم شرحه في بابِ ضعفةِ المسلمين


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى


Imepokewa kutoka kwa Hârithah bin Wahbi (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema: “Nilimsikia Mtume akisema: “Je, niwaeleze mtu wa motoni? Ni kila mwenye moyo mgumu mwenye mwendo wa maringo mwenye kibri.”    [ Wameafikiana Bukhari na Muslim]

Sherehe yake imetangulia katika Mlango wa wanyonge katika Waislamu.


Begin typing your search above and press return to search.