0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

589. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Uchamungu Na Kuacha Shubha ( Yenye Kutia Shaka)

باب الورع وترك الشبهات


وعن النَّواسِ بن سمعان – رضي الله عنه -، عن النبيِّ – صلى الله عليه وسلم -، قَالَ: { البِرُّ: حُسْنُ الخُلُقِ، وَالإِثْمُ: مَا حَاكَ فِي نَفْسِكَ، وَكَرِهْتَ أنْ يَطَّلِعَ عَلَيْهِ النَّاسُ}    رواه مسلم


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



68. MLANGO WA UCHAMUNGU NA KUACHA SHUBHA (YENYE KUTIA SHAKA)


Imepokewa kutoka kwa an-Nawwâs bin Sam‘ân (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesimulia: “Mtume amesema: “Wema ni tabia njema, na dhambi ni inayotia shaka katika nafsi yako na ukachukia watu wasije wakaijua.”      [ Imepokewa na Muslim ]


Begin typing your search above and press return to search.