0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

473. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Fadhila Ya Kuipa Mgongo Dunia, Mahimizo Ya Kuwa Nao Kwa Uchache Na Fadhila Ya Ufukara.

باب فضل الزهد في الدنيا والحث عَلَى التقلل منها وفضل الفقر


وعن عائشة – رضي الله عنها -، قالت: تُوفي رسول الله – صلى الله عليه وسلم -، وَمَا في بَيْتِي مِنْ شَيْءٍ يَأكُلُهُ ذُو كَبِدٍ إِلاَّ شَطْرُ شَعِيرٍ في رَفٍّ لي، فَأكَلْتُ مِنْهُ حَتَّى طَالَ عَلَيَّ، فَكِلْتُهُ فَفَنِيَ.    متفقٌ عَلَيْهِ

قولها: {شَطْرُ شَعير} أيْ: شَيْءٌ مِنْ شَعير،، كَذَا فَسَّرَهُ التُرْمذيُّ

شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka Âisha (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema: “Mtume ﷺ aliondoka duniani na nyumbani mwangu hakuna kitu kinachoweza kuliwa na mwenye uhai ila shayiri (nafaka inayofanana na ngano inayotumika kuwa chakula) chache zilizokuwa katika rafu yangu (ya kuwekea chakula), nikaila kwa mda mrefu, kisha nikazipima kiasi kilichobaki zikawa karibu kumalizika]    [ Wameafikiana Bukhari na Muslim .]


Begin typing your search above and press return to search.