0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

45. MLANGO: WA KUWATEMBELEA WATU WA KHERI, KUKETI NAO, KUSUHUBIANA NAO, KUWAPENDA, KUWAOMBA KUTEMBELEWA NAO, KUWATAKA WAKUOMBEE DUA, NA KUZURU SEHEMU TUKUFU

 باب زيارة أهل الخير ومجالستهم وصحبتهم ومحبتهم وطلب زيارتهم والدعاء منهم وزيارة المواضع الفاضلة


قَالَ الله تَعَالَى: ﴿وَإِذْ قَالَ مُوسَى لِفَتَاهُ لا أَبْرَحُ حَتَّى أَبْلُغَ مَجْمَعَ الْبَحْرَيْنِ أَوْ أَمْضِيَ حُقُباً﴾ إِلَى قوله تَعَالَى: ﴿قَالَ لَهُ مُوسَى هَلْ أَتَّبِعُكَ عَلَى أَنْ تُعَلِّمَنِ مِمَّا عُلِّمْتَ رُشْداً؟﴾ [ الكهف: 60 – 66 ]

وَقالَ تَعَالَى: ﴿وَاصْبِرْ نَفْسَكَ مَعَ الَّذِينَ يَدْعُونَ رَبَّهُمْ بِالْغَدَاةِ وَالْعَشِيِّ يُرِيدُونَ وَجْهَهُ﴾ [ الكهف: 28 ]


شرح مقدمة باب توقير العلماء والكبار



Mwenyezi Mungu Amesema:  [Na pale Musa alipo mwambia kijana wake: Sitoacha kuendelea mpaka nifike zinapo kutana bahari mbili, au nitaendelea kwa muda mrefu]  Mpaka katika neno tukufu [Na isubirishe nafsi yako pamoja na wanaomuomba Mola wao Mlezi asubuhi na jioni, hali ya kuwa wanataka Radhi Yake.]   [18: 60-66]

Mwenyezi Mungu Amesema:  [Na isubirishe nafsi yako pamoja na wanao muomba Mola wao Mlezi asubuhi na jioni, hali ya kuwa wanataka radhi yake..]  [18: 28].


Begin typing your search above and press return to search.