0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

435. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Kutaraji (Rehema Za Mwenyezi Mungu.)

باب الرجاء


وعن أنس – رضي الله عنه –، قَالَ: جاء رجل إِلَى النَّبيّ – صلى الله عليه وسلم -، فَقَالَ: يَا رَسُول الله، أَصَبْتُ حَدّاً، فَأَقِمْهُ عَلَيَّ، وَحَضَرَتِ الصَّلاةُ، فَصَلَّى مَعَ رَسُول الله – صلى الله عليه وسلم -، فَلَمَّا قَضَى الصَّلاةَ، قَالَ: يَا رَسُول الله، إنِّي أصَبْتُ حَدّاً فَأقِمْ فيَّ كِتَابَ الله. قَالَ: {هَلْ حَضَرْتَ مَعَنَا الصَّلاةَ}؟ قَالَ: نَعَمْ. قَالَ: {قَدْ غُفِرَ لَكَ}      مُتَّفَقٌ عَلَيهِ

وقوله: {أصَبْتُ حَدّاً} مَعنَاهُ: مَعْصِيَةً تُوجِبُ التَّعْزيرَ، وَلَيْسَ المُرَادُ الحدّ الشَّرعيَّ الحَقِيقيَّ كَحَدِّ الزِّنَا وَالخمر وَغَيرِهِمَا، فإنَّ هذِهِ الحُدودَ لا تَسْقُطُ بالصَّلاةِ، وَلاَ يَجُوزُ للإمَامِ تَرْكُهَا


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka Anas (Radhi za Allah ziwe juu yake)  amesimulia: “Mtu mmoja alikuja kwa Mtume  ﷺ akamwambia: “Yâ Rasûlallâh, nimefanya maasia yanayopasa mtu kupigwa haddi, kwa hivyo nisimamishie haddi.” Wakati wa Swala ulikuwa umefika, akaswali pamoja na Mtume  ﷺ alipomaliza kuswali akamwambia: “Yâ Rasûlallâh, nimefanya maasia yanayopasa mtu kupigwa haddi, nipitishiie Kitabu cha Allâh.” Mtume  ﷺ akamwuliza: “Umeswali pamoja nasi?” Akamjibu: Ndio. [ Akamwambia: “Umesamehewa.”]  [ Wameafikiana Bukhari na Muslim ]


Begin typing your search above and press return to search.