February 20, 2023        
        
            
            0 Comments        
    
باب الخوف
عن ابن مسعود – رضي الله عنه -، قَالَ : قَالَ رَسُول الله – صلى الله عليه وسلم -: {يُؤتَى بِجَهَنَّمَ يَومَئذٍ لَهَا سَبْعُونَ ألفَ زِمَامٍ، مَعَ كُلِّ زِمَامٍ سَبعُونَ ألْفَ مَلَكٍ يَجُرُّونَهَا} رواه مسلم
شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى
Imepokewa kutoka kwa Abdullâh bin Masûd  (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema: “Mtume ﷺ amesema: [ Siku hiyo (ya Qiyama) utaletwa moto wa Jahannam ukiwa una hatamu elfu sabiini, katika kila hatamu muna Malaika sabiini elfu wanauburuta moto huo.”]  [ Imepokewa na Muslim. ]