0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

374. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Kuwatembelea Watu Wa Kheri, Kuketi Nao,Kusuhubina Nao, Kuwapenda Na Kuomba Kutembelewa Nao….

 باب زيارة أهل الخير ومجالستهم وصحبتهم ومحبتهم وطلب زيارتهم والدعاء منهم وزيارة المواضع الفاضلة


وعن ابن عمر رضي الله عنهما قال‏:‏ كان النبي صلى الله عليه وسلم يزور قباء راكبًا وماشيًا، فيصلي فيه ركعتين، ‏(‏‏(‏متفق عليه‏)‏‏)‏ ‏.‏

وفي رواية‏:‏ كان النبي صلى الله عليه وسلم يأتي مسجد قباء كل سبت راكبًا وماشيًا وكان ابن عمر يفعله ‏.‏


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa ‘Abdullâh bin ‘Umar Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: “Mtume ﷺ alikuwa akizuru (kijiji cha) Qubâ akiwa amepanda (mnyama) na kwa kutembea pia. Akiswali huko rakaa mbili.” [ Wameafikiana Bukhari na Muslim]

Riwaya nyingine imesema: “Mtume ﷺ alikuwa akienda Qubâ kila Jumamosi, akiwa amepanda na kwa kutembea. Na ‘Abdullâh bin ‘Umar alikuwa akifanya kama hivyo.”


Begin typing your search above and press return to search.