0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

371. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Kuwatembelea Watu Wa Kheri, Kuketi Nao,Kusuhubina Nao, Kuwapenda Na Kuomba Kutembelewa Nao….

 باب زيارة أهل الخير ومجالستهم وصحبتهم ومحبتهم وطلب زيارتهم والدعاء منهم وزيارة المواضع الفاضلة


وعن أبي هريرة رضي الله عنه عن النبي صلى الله عليه وسلم قال‏:‏ “‏الناس معادن كمعادن الذهب والفضة، خيارهم في الجاهلية خيارهم في الإسلام إذا فقهوا، والأرواح جنود مجندة، فما تعارف منها ائتلف، وما تناكر منها اختلف‏”‏ ‏

(‏‏‏رواه مسلم‏‏‎‏‏‏)

‏(‏‏وروى البخاري‏)‏ قوله‏:‏ ‏”‏الأرواح‏”‏ من رواية عائشة رضي الله عنها‏:‏


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa Abû Huraira Radhi za Allah ziwe juu yake amesimulia: “Mtume  amesema: [ Watu ni madini kama vile madini ya dhahabu na fedha, wabora wao katika ujahiliya ndio wabora wao katika Uislamu watakapofahamu (Dini). Roho ni mjumuiko wa makundi mbalimbali, zinazofanana ndizo zinazozoweyana, na zinazokimbiana ndizo zinazokhitilafiana.]   [ Imepokewa na Muslim].


Begin typing your search above and press return to search.