0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

358. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Kuwahishimu Ulamaa, Watu Wazima, Watu Wa Bora, Kuwatanguliza Wao Mbele Ya Wengine ….

 باب توقير العلماء والكبار وأهل الفضل وتقديمهم عَلَى غيرهم ورفع مجالسهم وإظهار مرتبتهم


وعن أَبي سعيد سَمُرة بنِ جُندب – رضي الله عنه -، قَالَ: لقد كنت عَلَى عَهْدِ رَسُول الله – صلى الله عليه وسلم – غُلاماً، فَكُنْتُ أحْفَظُ عَنْهُ، فَمَا يَمْنَعُنِي مِنَ القَوْلِ إلاَّ أنَّ هاهُنَا رِجَالاً هُمْ أسَنُّ مِنِّي.      مُتَّفَقٌ عَلَيهِ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka Abû Sa‘îd, Samurah bin Jundub Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: “Nilikuwa katika zama za Mtume ni kijana, nikawa nikihifadhi maneno kutoka kwake. Hakuna linalonizuwia kusema ispokuwa tu hapa kuna watu wenye umri mkubwa zaidi kuniliko.”    [ Wameafikiana Bukhari na Muslim]


Begin typing your search above and press return to search.