0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

348. Riyadhu Swalihina Mlango wa Kuwahishimu Ulamaa, watu wazima, watu wa bora, kuwatanguliza wao mbele ya wengine ….

 باب توقير العلماء والكبار وأهل الفضل وتقديمهم عَلَى غيرهم ورفع مجالسهم وإظهار مرتبتهم


وعن أَبي مسعودٍ عقبةَ بن عمرو البدري الأنصاري – رضي الله عنه -، قَالَ: قَالَ رَسُول الله – صلى الله عليه وسلم -: {يَؤُمُّ القَوْمَ أقْرَؤُهُمْ لِكِتَابِ الله، فَإنْ كَانُوا في القِراءةِ سَوَاءً، فأَعْلَمُهُمْ بِالسُّنَّةِ، فَإنْ كَانُوا في السُّنَّةِ سَوَاءً، فَأَقْدَمُهُمْ هِجْرَةً، فَإنْ كَانُوا في الهِجْرَةِ سَوَاءً، فَأقْدَمُهُمْ سِنّاً، وَلاَ يُؤمّنَّ الرَّجُلُ الرَّجُلَ في سُلْطَانِهِ، وَلاَ يَقْعُدْ في بَيْتِهِ عَلَى تَكْرِمَتِهِ إلاَّ بِإذْنهِ}   رواه مسلم


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka Abû Mas‘ûd, ‘Uqbah bin ‘Amri al-Badry al-Ansâry Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: [Mtume ﷺ  amesema: Awaswalishe watu mtu aliye mjuzi zaidi wa Qurâni, watakapolingana katika ujuzi basi aliye mjuzi zaidi wa Sunna, watakapolingana katika Sunna basi aliehajiri mbele, watakapolingana katika Hijra, basi mwenye umri mkubwa zaidi. Wala mtu asimswalishe mtu katika mamlaka yake, wala asiketi katika nyumba yake mahala pake (mwenyeji) palipo makhsusi ela kwa idhini yake.]    [ Imepokewa na Muslim.]


Begin typing your search above and press return to search.