0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

294. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Kulisha Watoto 06

BUSTANI YA WATU WEMA


وعن عبد الله بن عمرو بن العاص – رضي الله عنهما -، قَالَ: قَالَ رَسُول الله – صلى الله عليه وسلم -: {كَفَى بِالمَرْءِ إثْمَاً أنْ يُضَيِّعَ مَنْ يَقُوتُ}      حديث صحيح رواه أَبُو داود وغيره

ورواه مسلم في صحيحه بمعناه، قَالَ: {كَفَى بِالمَرْءِ إثْمَاً أنْ يحْبِسَ عَمَّنْ يَمْلِكُ قُوتَهُ}


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa Abdullâh bin ‘Amri bin al-‘Âs Radhi za Allah ziwe juu yao amesema: “Mtume  amesema: [Yatosha mtu kuwa ana dhambi kwa kumtupa anayemlisha.]   Hadîth hii ni Sahîh, imepokewa na Abû Dâwûd na wengineo.

Muslim ameipokea kwa maana hayo hayo katika Sahîh yake ikisema: [Yatosha mtu kuwa ana dhambi kumnyima chakula anayemmiliki]


Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.