0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

290. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Kulisha Watoto 02

BUSTANI YA WATU WEMA


وعن أَبي عبد الله، ويُقالُ لَهُ: أَبو عبد الرحمان ثَوبَان بن بُجْدُد مَوْلَى رَسُول الله – صلى الله عليه وسلم -، قَالَ: قَالَ رَسُول الله – صلى الله عليه وسلم -: {أفْضَلُ دِينَارٍ يُنْفقُهُ الرَّجُلُ: دِينَارٌ يُنْفِقُهُ عَلَى عِيَالِهِ، وَدينَارٌ يُنْفقُهُ عَلَى دَابَّتِهِ في سَبيلِ الله، وَدِينارٌ يُنْفقُهُ عَلَى أصْحَابهِ في سَبيلِ اللهِ}      رواه مسلم


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa Abû ‘Abdillâh, pia anajulikana kwa Abû ‘Abdirrahmân, Thawbân bin Bujdud muachwa huru wa Mtume amesema: “Mtume amesema: [Dinari bora anayoitoa mtu, ni dinari anayoitoa kwa aila (familia) yake, dinari anayoitoa kwa matumizi ya mnyama wake katika Njia ya Allâh na dinari anayoitoa kuwapa wenzake katika Njia ya Allâh]   [Imepokewa na Muslim]


Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.