0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

281. Riyadhu Swalihina Mlango Wa Haki ya Mume juu ya Mwanamke Hadithi 01

BUSTANI YA WATU WEMA


وعن أَبي هريرة – رضي الله عنه قَالَ: قَالَ رَسُول الله – صلى الله عليه وسلم -: {إِذَا دَعَا الرَّجُلُ امرَأتَهُ إِلَى فرَاشِهِ فَلَمْ تَأتِهِ، فَبَاتَ غَضْبَانَ عَلَيْهَا، لَعَنَتْهَا المَلائِكَةُ حَتَّى تُصْبحَ}       مُتَّفَقٌ عَلَيهِ

وفي رواية لهما: {إِذَا بَاتَت المَرأةُ هَاجِرَةً فِرَاشَ زَوْجِهَا لَعَنَتْهَا المَلاَئِكَةُ حَتَّى تُصْبحَ}

وفي رواية قَالَ رَسُول الله – صلى الله عليه وسلم -: {والَّذِي نَفْسِي بيَدِهِ مَا مِنْ رَجُلٍ يَدْعُو امْرَأتَهُ إِلَى فِرَاشهِ فَتَأبَى عَلَيهِ إلاَّ كَانَ الَّذِي في السَّمَاء سَاخطاً عَلَيْهَا حَتَّى يَرْضَى عَنها}


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Imepokewa kutoka kwa Abû Huraira Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: “Mtume amesema: [Mwanamume atakapomwita mkewe kitandani (ili alale naye) wala asiende, akalala (mume huyo) akiwa amemkasirikia (mkewe), Malaika watamlaani (mke huyo) mpaka apambaukiwe]    [Wameafikiana Bukhari na Muslim]

Na katika Riwaya nyingine ya Bukhârî na Muslim zimesema: Mwanamke anapopitiwa na usiku ilihali amekigura kitanda cha mumewe, Malaika humlaani mpaka asubuhi.
Na Riwaya nyingine imesema: Mtume amesema: “Naapa kwa Ambaye nafsi yangu imo mkononi Mwake! Mwanamume yeyote anaemwita mkewe kitandani mwake naye (mke) akamkatalia, kwa hakika Alie mbinguni Humkasirikia mwanamke huyo mpaka (mumewe) amwelee radhi.”


Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.