0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

١٨٢- باب استحباب تحسين الصَّوت بالقرآن وطلب القراءة من حَسَن الصوت والاستماع لها


عَنْ أبي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: سمِعتُ رسولَ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يقول: “مَا أَذِنَ اللهُ لِشَيْءٍ مَا أَذِنَ لِنَبِيٍّ حَسَنِ الصَّوْتِ يَتَغَنَّى بِالْقُرْآنِ يَجْهَرُ بِهِ”    متفقٌ عَلَيْهِ

مَعْنَى“أَذِنَ اللهُ”: أي اسْتَمَعَ، وَهُوَ إشَارَةٌ إلى الرِّضَى وَالقُبُولِ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



181. MLANGO WA MAAMRISHO YA KUIRUDIA-RUDIA QUR’ẤNI NA MAONYO YA KUTOISAHAU


Imepokewa kutoka kwa Abû Mûsâ ( Radhi za Allah ziwe juu yake ) amesimulia: “Mtume   amesema: “Dumisheni kuisoma Qur’âni. Naapa kwa Ambaye nafsi ya Muhammad iko Mkononi Mwake, hiyo (Qur’âni) ni wepesi kukimbia kuliko ngamia anavyoshopoka katika kamba yake.”     [ Wameafikiana Bukhari na Muslim ] .

Begin typing your search above and press return to search.