١٨٢- باب استحباب تحسين الصَّوت بالقرآن وطلب القراءة من حَسَن الصوت والاستماع لها
عَنْ أبي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: سمِعتُ رسولَ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يقول: “مَا أَذِنَ اللهُ لِشَيْءٍ مَا أَذِنَ لِنَبِيٍّ حَسَنِ الصَّوْتِ يَتَغَنَّى بِالْقُرْآنِ يَجْهَرُ بِهِ” متفقٌ عَلَيْهِ
مَعْنَى“أَذِنَ اللهُ”: أي اسْتَمَعَ، وَهُوَ إشَارَةٌ إلى الرِّضَى وَالقُبُولِ“
شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى
182 MLANGO WA SUNNAH YA KUPENDEKEZWA YA KUIBORESHA SAUTI KATIKA KUISOMA QUR’ẤNI NA KUMTAKA MWENYE SAUTI NZURI AISOME NA KUMSIKILIZA
Imepokewa kutoka kwa Abû Huraira ( Radhi za Allah ziwe juu yake ) amesema: “Nilimsikia Mtume ﷺ akisema: “Allâh Hajasikiliza kitu chochote zaidi ya jinsi Anavyomsikiliza Mtume ﷺ kwa shauku anavyosoma Qur’âni kwa sauti nzuri na ya juu.” [ Wameafikiana Bukhari na Muslim ] .