0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

214. MLANGO WA FADHILA YA KUSWALI LAILATUL-QADRI NA KUBAINISHA MASIKU YAKE YANAYOTARAJIWA ZAIDI


٢١٤- باب فضل قيام ليلة القدْر وبَيان أرجى لياليها


قَالَ الله تَعَالَى: {إِنَّا أَنْزَلْنَاهُ فِي لَيْلَةِ الْقَدْرِ} [القدر: ١] إِلَى آخرِ السورة

وقال تعالى: {إِنَّا أَنْزَلْنَاهُ فِي لَيْلَةٍ مُبَارَكَةٍ.} الآيات [الدخان: ٣]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



214. MLANGO WA FADHILA YA KUSWALI LAILATUL-QADRI NA KUBAINISHA MASIKU YAKE YANAYOTARAJIWA ZAIDI


Allâh Amesema: “Hakika Tumeiteremsha (Qur’âni) katika Lailatul-Qadri (Usiku wenye heshima kuu, katika mwezi wa Ramadhani).” [97:1]. Mpaka mwisho wa Sura.

Allâh Amesema: “Kwa yakini Tumeiteremsha (Qur’âni) katika usiku uliobarikiwa…” mpaka mwisho wa Aya zinazoeleza habari hii. [44:3].


Begin typing your search above and press return to search.