0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

195. Riyadhu Swalihina Mlango wa Kuamrisha Mema na kukanya Mabaya Hadithi 12


BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عنْ أَبِي عبدِ اللَّه طارِقِ بنِ شِهابٍ الْبُجَلِيِّ الأَحْمَسِيِّ رضي اللَّه عنه أَنَّ رجلاً سأَلَ النَّبِيَّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم ، وقَدْ وَضعَ رِجْلَهُ في الغَرْزِ : أَيُّ الْجِهادِ أَفْضَلُ؟ قَالَ : «كَلِمَةُ حقٍّ عِنْدَ سُلْطَانٍ جائِر »      رَوَاهُ النسائيُّ بإسنادٍ صحيحٍ


Kutoka kwa Abu ‘Abdillaah Twaariq bin Shihaab Al-Bajaliy Al-Ahmasiy Radhi za Allah ziwe juu yake ya kwamba, mtu mmoja alimuuliza Mtumeambaye alikuwa tayari ameweka mguu kwenye kipandio (sehemu ya kuweka mguu wakati ukitaka kupanda Ngamia) akasema: Ni Jihadi gani iliyobora kabisa? (Mtume)  Akasema: [Kusema neno la uadilifu mbele ya Mtawala jeuri.]      [Imepokewa na An-Nasaai]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.