0%

https://uongofu.com/wp-content/uploads/2021/06/services-head-1.png

193. Riyadhu Swalihina Mlango wa Kuamrisha Mema na kukanya Mabaya Hadithi 10


BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عَنْ حذيفةَ رضي اللَّه عنه أَنَّ النبي صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : « والَّذِي نَفْسِي بِيَدِهِ لَتَأْمُرُنَّ بالْمعرُوفِ ، ولَتَنْهَوُنَّ عَنِ المُنْكَرِ ، أَوْ لَيُوشِكَنَّ اللَّه أَنْ يَبْعثَ عَلَيْكمْ عِقَاباً مِنْهُ ، ثُمَّ تَدْعُونَهُ فَلاَ يُسْتَجابُ لَكُمْ »   رواه الترمذي وقال : حديثٌ حسنٌ


Kutoka kwa  Hudhayfah Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba: Mtume amesema: [Naapa kwa yule ambaye nafsi yangu ipo mikononi Mwake, mtaendelea kuamrisha mema na kukataza maovu au kama si hivyo basi Mwenyezi Mungu Atawateremshia adhabu kutoka kwake, kisha mtamuomba na yeye asiwaitikie (du’aa zenu).]    [Imepokewa na At-Tirmidhiy]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



Toa maoni yako

Begin typing your search above and press return to search.